Roseau : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: da:Roseau |
d roboti Nyongeza: war:Roseau |
||
Mstari 53: | Mstari 53: | ||
[[tl:Roseau]] |
[[tl:Roseau]] |
||
[[uk:Розо]] |
[[uk:Розо]] |
||
[[war:Roseau]] |
|||
[[zh:羅索]] |
[[zh:羅索]] |
Pitio la 15:41, 24 Februari 2009
Roseau ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Dominica katika Karibi. Ni mji mdogo mwenye wakazi 14,000.
Iko upande wa magharibi wa kisiwa (kwenye 15°18'N - 61°23'W). Mji ulianzishwa na Ufaransa wakati wa karne ya 18 una majengo ya zamani za Wafaransa na pia za kisasa.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |