Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: uk:Ганс Бете
Mstari 46: Mstari 46:
[[sv:Hans Bethe]]
[[sv:Hans Bethe]]
[[tr:Hans Bethe]]
[[tr:Hans Bethe]]
[[uk:Бете Ганс Альбрехт]]
[[uk:Ганс Бете]]
[[zh:汉斯·贝特]]
[[zh:汉斯·贝特]]

Pitio la 00:35, 19 Januari 2009

Hans Bethe

Hans Albrecht Bethe (2 Julai, 19066 Machi, 2005) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.