Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 39: Mstari 39:
[[sv:Joseph Pulitzer]]
[[sv:Joseph Pulitzer]]
[[ta:ஜோசேப் புலிட்சர்]]
[[ta:ஜோசேப் புலிட்சர்]]
[[th:โจเซฟ พูลิตเซอร์]]
[[tr:Joseph Pulitzer]]
[[tr:Joseph Pulitzer]]
[[uk:Джозеф Пулітцер]]
[[uk:Джозеф Пулітцер]]

Pitio la 15:32, 23 Novemba 2008

Joseph Pulitzer

Joseph Pulitzer (10 Aprili, 184729 Oktoba, 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.