Tours : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: oc:Tors |
d roboti Nyongeza: et:Tours |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
[[eo:Tours]] |
[[eo:Tours]] |
||
[[es:Tours]] |
[[es:Tours]] |
||
[[et:Tours]] |
|||
[[fi:Tours]] |
[[fi:Tours]] |
||
[[fr:Tours]] |
[[fr:Tours]] |
Pitio la 19:00, 30 Julai 2008
Tours ni mji wa Ufaransa ya kati mwenye wakazi 143,000. Uko kando la mto Loire.
Mji unajulikana kihistoria kutokana na askofu Martin wa Tours (mnamo 370) anayekumbukwa kama mtakatifu katika kanisa katoliki.
Mwaka 732 mfalme wa Wafranki Karolo Martell alishinda jeshi la Waarabu katika mapigano ya Tours na Poitiers na kuzuia uenezaji wa Uislamu katika Ulaya ya Magharibi.