Kipanya (kompyuta) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d wikidata interwiki |
No edit summary Tags: Reverted Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Image:2-buttons_mouse.jpg|right|thumb|200px|Puku ya kompyuta yenye vitufe viwili]] |
[[Image:2-buttons_mouse.jpg|right|thumb|200px|Puku ya kompyuta yenye vitufe viwili]] |
||
''' |
'''Kitanya cha kompyuta''' (''pia:'' '''puku''') ni kifaa cha kuingizia [[data]] katika [[tarakilishi]]. |
||
Kitanya hushikwa kwa mkono na kusukumwa mezani. Mwendo wake husababisha mshale wa kasa ([[kielekezi]]) kutembea kwenye [[kiwamba]]. |
|||
Mtumiaji hulenga kwa mshale huko anapochagua kotoa amri kwa kubofya kitufe cha kipanya. Tendo hili lasababisha amri inayoonekana kama alama au mchoro kwenye skrini kutekelezwa na programu ya kompyuta. |
Mtumiaji hulenga kwa mshale huko anapochagua kotoa amri kwa kubofya kitufe cha kipanya. Tendo hili lasababisha amri inayoonekana kama alama au mchoro kwenye skrini kutekelezwa na programu ya kompyuta. |
Pitio la 16:16, 16 Julai 2021
Kitanya cha kompyuta (pia: puku) ni kifaa cha kuingizia data katika tarakilishi.
Kitanya hushikwa kwa mkono na kusukumwa mezani. Mwendo wake husababisha mshale wa kasa (kielekezi) kutembea kwenye kiwamba.
Mtumiaji hulenga kwa mshale huko anapochagua kotoa amri kwa kubofya kitufe cha kipanya. Tendo hili lasababisha amri inayoonekana kama alama au mchoro kwenye skrini kutekelezwa na programu ya kompyuta.