Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: nl:Joseph Pulitzer
d roboti Nyongeza: ar:جوزيف بوليتزر
Mstari 11: Mstari 11:
{{mbegu}}
{{mbegu}}


[[ar:جوزيف بوليتزر]]
[[bs:Joseph Pulitzer]]
[[bs:Joseph Pulitzer]]
[[ca:Joseph Pulitzer]]
[[ca:Joseph Pulitzer]]

Pitio la 21:26, 10 Machi 2008

Joseph Pulitzer

Joseph Pulitzer (10 Aprili, 184729 Oktoba, 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.