Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fa:هانس بته
Mstari 22: Mstari 22:
[[eo:Hans Albrecht Bethe]]
[[eo:Hans Albrecht Bethe]]
[[es:Hans Bethe]]
[[es:Hans Bethe]]
[[fa:هانس بته]]
[[fi:Hans Bethe]]
[[fi:Hans Bethe]]
[[fr:Hans Bethe]]
[[fr:Hans Bethe]]

Pitio la 20:01, 5 Machi 2008

Hans Bethe

Hans Albrecht Bethe (2 Julai, 19066 Machi, 2005) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.