Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '"Kifo cha George Floyd", Mmarekani Mweusi kutoka Minnesota, kilitokea tarehe 25 mei, 2020,pindi afisa askari mweupe wa Minneeapolis,alipopiga goti katika shingo...'
"Kifo cha George Floyd", Mmarekani Mweusi kutoka Minnesota, kilitokea tarehe 25 mei, 2020,pindi afisa askari mweupe wa Minneeapolis,alipopiga goti katika shingo la Floyd kwa mda wa taklribani dakika nane na sekunde 46,kulingana na faili lilofunguliwa la malalamiko jinai dhidi ya Chauvin.[1][2]