Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ro:Hans Albrecht Bethe
Mstari 36: Mstari 36:
[[pl:Hans Bethe]]
[[pl:Hans Bethe]]
[[pt:Hans Bethe]]
[[pt:Hans Bethe]]
[[ro:Hans Albrecht Bethe]]
[[ru:Бете, Ханс Альбрехт]]
[[ru:Бете, Ханс Альбрехт]]
[[sk:Hans Albrecht Bethe]]
[[sk:Hans Albrecht Bethe]]

Pitio la 10:39, 14 Januari 2008

Hans Bethe

Hans Albrecht Bethe (2 Julai, 19066 Machi, 2005) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.