Jennifer Bash : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Jennifer Bash''' ni mjasiriamali maarufu katika kilimo nchini Tanzania.Mwanamke huyu ni mwanzilishi wa kampuni inayoitwa '''AKTZ Industries Ltd''' inayojihusisha na utengenezaji wa vyakula vyenye chapa ya '''Alaska Tanzania'''<ref>http://www.thecitizen.co.tz/magazine/woman/Supporting-local-farmers/1843796-3183222-ajsmfd/index.html</ref>.Kutokana na jitihada zake katika ujasiriamali,alifanikiwa kuzawadia |
'''Jennifer Bash''' ni mjasiriamali maarufu katika kilimo nchini Tanzania.Mwanamke huyu ni mwanzilishi wa kampuni inayoitwa '''AKTZ Industries Ltd''' inayojihusisha na utengenezaji wa vyakula vyenye chapa ya '''Alaska Tanzania'''<ref>http://www.thecitizen.co.tz/magazine/woman/Supporting-local-farmers/1843796-3183222-ajsmfd/index.html</ref>.Kutokana na jitihada zake katika ujasiriamali,alifanikiwa kuzawadia tuzo na kampuni ya utangazaji ya Clouds Media Group mwaka 2016 kama mwanamke aliyefanikiwa katika biashara ya kilimo. |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
==marejeo== |
==marejeo== |
||
[[Category: Wiki Loves Women Tanzania]] |
[[Category: Wiki Loves Women Tanzania]][[Category: Wanawake wa Tanzania]] |
Pitio la 19:20, 9 Septemba 2018
Jennifer Bash ni mjasiriamali maarufu katika kilimo nchini Tanzania.Mwanamke huyu ni mwanzilishi wa kampuni inayoitwa AKTZ Industries Ltd inayojihusisha na utengenezaji wa vyakula vyenye chapa ya Alaska Tanzania[1].Kutokana na jitihada zake katika ujasiriamali,alifanikiwa kuzawadia tuzo na kampuni ya utangazaji ya Clouds Media Group mwaka 2016 kama mwanamke aliyefanikiwa katika biashara ya kilimo.