Nenda kwa yaliyomo

Lust (filamu ya 2010)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lust (kwa Kiswahili: Tamaa; kwa Kiarabu: الشوق, El Shoq) ni filamu ya maigizo ya mwaka 2010 [1] kutoka Misri iliyoongozwa na Khaled El Hagar.

Filamu hiyo ilichaguliwa katika kinyanganyiro kwenye kipengele cha filamu bora ya lugha ya kigeni katika tuzo za 84 za Academy,[2][3] lakini haikuingia katika orodha fupi ya mwisho.[4]

  1. "Sawsan Badr steals the show in 'Lust' - Dailynewsegypt" (kwa American English). 2010-12-08. Iliwekwa mnamo 2024-02-10.
  2. https://english.ahram.org.eg/~/NewsContent/5/32/23157/Arts--Culture/Film/Egyptian-film-ElShouq-to-vie-for-Oscar-.aspx
  3. "63 Countries Vie for 2011 Foreign Language Film Oscar® | Press Release | The Academy". web.archive.org. 2012-05-18. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-18. Iliwekwa mnamo 2024-02-10.
  4. "9 Foreign Language Films Vie for Oscar®". web.archive.org. 2012-05-18. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-18. Iliwekwa mnamo 2024-02-10.

Baal veer (samrat) ni filam iliyo toka mwaka 2015.kulikuwa na bhayankar par.alienda duniani kwenda kutafuta mtoto mwenye alama ya,par taala na pilamin(nyota na almasi).bhayankar par alimpata ran par akatokea wakaanza kupambana.bhayankar par akamuachia yule mtoto(ambaye ni baal veer) baal par akatokea na kumuchua yule mtoto na kuenda naye par look.baal par akawa mama mlezi wa baal veer.baada ya miaka 10 kupita.ran par akaandaa sherehe ya kupatia baal veer nguvu.pari wote wakampa baalveer nguvu kwenye jaduu indand(fimbo ya miujiza) ran par alimpa baalveer usafiri wa kwenda duniani ili akasaidie watu.alifikia kwenye familia ya Mahesh Dagili wakampa jina la Ballu.......{ili kuelewa zaidi ingia facebook au youtube.andika BAAL VEER SAMRAT}