Luhaga Joelson Mpina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Luhanga Mpina)
Mhe. Luhaga Mpina Mb


Mbunge wa Kisesa
Aliingia ofisini 
Decemba 2005

tarehe ya kuzaliwa 5 Mei 1975 (1975-05-05) (umri 48)
utaifa Mtanzania
chama CCM
mhitimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe (B.Acc)
Chuo Kikuu cha Strathclyde (MSc)

Luhaga Joelson Mpina (amezaliwa tar. 5 Mei 1975) ni mbunge wa jimbo la Kisesa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

2005 alichaguliwa mara ya kwanza kuwa mbunge akarudishwa katika chaguzi za 2010, 2015 na 2020. 2017 - 2020 alikuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi katika serikali ya rais John Magufuli[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Luhaga Joelson Mpina". 21 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 
  2. Profile Hon. Luhaga Joelson Mpina, tovuti la Bunge la Tanzania, iliangaliwa Septemba 2022