Litham
Mandhari
Litham ( wakati mwingine hutamkwa lifam ) ni pazia la mdomoni ambalo Watuareg na wahamaji wengine wa Afrika ya Kaskazini, haswa wanaume, wamezoea kufunika sehemu ya chini ya uso wao. [1]
Kazi na umuhimu
[hariri | hariri chanzo]Litham hutumika kama ulinzi dhidi ya vumbi na joto kali linaloashiria mazingira ya jangwa.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Björkman, W. (2012). "Lit̲h̲ām". Katika P. Bearman (mhr.). Encyclopaedia of Islam (tol. la 2nd). Brill. doi:10.1163/1573-3912_islam_SIM_4672.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |