Lisa Brennauer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Brennauer mnamo 2015
Brennauer mnamo 2015

Lisa Brennauer (amezaliwa 8 Juni 1988) ni Mjerumani anayejihusha na mbio za baiskeli na kwa sasa ndiye anayeiendesha timu ya bara la UCI ya wanawake[1].

Alishinda medali ya dhahabu kwenye Olimpiki ya majira ya joto mwaka 2020 kwenye timu ya wanawake[2]. 24 Septemba 2014,Brennauer akawa bingwa wa dunia katika michuano ya dunia huko Ponferranda.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Team Reporting", Pro Visual Studio 2005 Team System (Apress): 159–196, retrieved 2021-12-03 
  2. Abbiss, Chris R.; Menaspà, Paolo (2017). "Track Cycling". Cycling Science. doi:10.5040/9781492595373.ch-038. 
  3. Steve Ritter (2016-08-01). "New world champion base is crowned". C&EN Global Enterprise 94 (31): 8–9. ISSN 2474-7408. doi:10.1021/cen-09431-scicon002.