Limpopo Pride

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Limpopo Pride ni timu ya kimataifa ya mpira wa kikapu ya nchini Afrika Kusini inayopatikana katika mji wa Limpopo. Timu ilishiriki katika mashindano ya Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu.[1]

wachezaji mashuhuri[hariri | hariri chanzo]

kukidhi vigezo katika sehemu hii mchezaji anatakiwa awe na sifa zifuatazo

- Awe na historia na mchango katika maendeleo ya clabu au awe na tuzo binafsi kama mchezaji maarufu.

- Awe angalau ameshacheza mechi za kimataifa akiwa katika timu yake ya kawaida au mchezo mmoja wa NBA

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. <img Alt= Src='http://2.gravatar.com/Avatar/2a67618a62bd4fd97af335477dc6ddab?s=72, #038;d=mm, #038;r=g' Srcset='http://2.gravatar.com/Avatar/2a67618a62bd4fd97af335477dc6ddab?s=144, #038;d=mm, #038;r=g 2x' class='avatar avatar-72 photo' height='72' width='72' loading='lazy'/> S, y Sutherl (2014-09-20). "The Mogul’s Insight : BNL season 2014 | MyBasketball". MyBasketball | South Africa's basketball community (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-09-02.