Liesl Jobson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Liesl Jobson ni mtunzi wa mashairi na mwanamuziki kutoka nchini Afrika kusini[1],alishinda tuzo yake ya kwanza kwenye mashindano yaliyofanyika katika Jumba la Ushairi mnamo mwaka 2003 na shairi lake kusomwa katika tamasha la "Art of Survival" huko chuo kikuu cha Alaska. Alikuwa ni mghani mashairi anayetizamwa sana na Timbila mwaka 2005 na mashairi yake yalionekana katika majarida na vitini mbalimbali mtandaoni na hata yaliyo chapishwa. Alishinda katika mashindano ya ushairi wenye kupinga ukatili dhidi ya wanawake mnamo mwaka 2005 na kutunukiwa tuzo mnamo mwaka 2006 ya Ernst van Heerden katika kughani mashairi kwa ubunifu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-04-17. Iliwekwa mnamo 2023-02-26. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Liesl Jobson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.