Leyla Hussein

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Leyla Hussein

Leyla Hussein Obe (kwa Kisomali: Leyla Xuseen; alizaliwa huko Somalia mnamo mwaka 1980 [1][2]) ni mwanaharakati wa kijamii na mwanzilishi wa mradi wa Dahlia[3].

Mwaka 2020, Leyla Hussein alichaguliwa kuwa mkuu wa Chuo Kikuu cha St Andrews.

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Wazazi wake walikuwa wataalamu. Hussein baadaye alihamia Uingereza ili kupata elimu yake ya sekondari, alipata stashada ya uzamili ya kwanza katika ushauri wa matibabu kutoka Chuo Kikuu cha Thames Valley.[4] pia ana mtoto mmoja wa kike.[5].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Leyla Hussein". Kompany. Iliwekwa mnamo 3 October 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "How I Survived Female Genital Mutilation", Staying Alive Foundation, 18 June 2014. Retrieved on 2021-07-20. Archived from the original on 2014-10-06. 
  3. "Leyla Hussein | Campaigner". leylahussein.com (kwa en-US). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-03-13. Iliwekwa mnamo 2017-10-15.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  4. "Leyla Hussein". Daughters of Eve. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-07-15. Iliwekwa mnamo 13 July 2014.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |accessdate= (help)
  5. "The Cruel Cut". Channel 4. Iliwekwa mnamo 3 October 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Leyla Hussein kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.