Las Vegas, Nevada

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Las Vegas, Nevada






Jiji la Las Vegas

Bendera
Jiji la Las Vegas is located in Marekani
Jiji la Las Vegas
Jiji la Las Vegas

Mahali pa mji wa Las Vegas katika Marekani

Majiranukta: 36°11′39″N 115°13′19″W / 36.19417°N 115.22194°W / 36.19417; -115.22194
Nchi Marekani
Jimbo Nevada
Wilaya Clark
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 558,880

Las Vegas ni mji wa Marekani katika jimbo la Nevada. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.8 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 610 kutoka juu ya usawa wa bahari. Pia ni mji ambao watu wengi hupenda kwenda, kwa kuwa ni mji wa starehe.

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Las Vegas, Nevada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.