Lana Del Rey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Del Rey kwenye Jumba la kumbukumbu la Grammy mnamo 2019
Del Rey kwenye Jumba la kumbukumbu la Grammy mnamo 2019

Elizabeth Woolridge Grant (anajulikana kwa jina lake la kisanii kama Lana Del Rey; alizaliwa Juni 21, 1985) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Marekani[1].

Yeye ni mpokeaji wa tuzo mbalimbali, zikiwa ni pamoja na tuzo mbili za Brit Awards, tuzo mbili za MTV Europe Music Awards, na tuzo moja ya Satellite Award, pamoja na uteuzi wa tuzo sita za Grammy Awards na tuzo ya Golden Globe. Variety ilimtuza Hitmakers Awards kwa kuwa "mmoja wa waimbaji-watunzi wa nyimbo wenye ushawishi mkubwa zaidi wa karne ya 21."[2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Musical notes.svg Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lana Del Rey kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.