Laila Ferrer e Silva

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Laila Ferrer e Silva Domingos (alizaliwa Pacatuba, Ceará, 30 Julai 1982) ni Mbrazili anaye rusha mikuki[1][2]. Alimaliza kushiriki michezo ya kurusha mikuki ya olimpiki ya mwaka 2012 kipindi cha majira ya joto[3]. Pia aliwahi kushiriki Mashindano ya Olimpiki ya majira ya joto ya mwaka 2020[4].

Disemba 2012, aliolewa na mwanamichezo mrusha nyundo Wagner Domingos.[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Search Results | Olympics at Sports-Reference.com". web.archive.org. 2020-02-23. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-02-23. Iliwekwa mnamo 2021-10-02. 
  2. "X Juegos Suramericanos - (Atletismo) Biografía - General : FERRER DOMINGOS Laila". web.archive.org. 2014-05-12. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-05-12. Iliwekwa mnamo 2021-10-02. 
  3. "Laila Ferer E Silva - Athletics - Olympic Athlete | London 2012". web.archive.org. 2013-05-24. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-05-24. Iliwekwa mnamo 2021-10-02. 
  4. "Athletics FERRER Laila - Tokyo 2020 Olympics". olympics.com (kwa en-us). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-10-02. Iliwekwa mnamo 2021-10-02. 
  5. Jogos Olímpicos Tóquio 2020 | 2021 - iG