Kiyekora

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiyekora ni lugha ya Kivuka-Guinea Mpya nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wayekora. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kiyekora imehesabiwa kuwa watu 1050. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiyekora iko katika kundi la Kibinanderean.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiyekora kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.