Kiwoleai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiwoleai ni lugha ya Kiaustronesia nchini Mikronesia inayozungumzwa na Wawoleai. Mwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kiwoleai imehesabiwa kuwa watu 1630. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiwoleai iko katika kundi la Kioseaniki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiwoleai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.