Kiwamin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiwamin kilikuwa lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia iliyozungumzwa na Wawamin katika jimbo la Queensland. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea Kiwamin, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiwamin kiko katika kundi la Kipama cha Kusini.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiwamin kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.