Kiumiida

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la lugha za Kiworrorran barani mwa Australia, rangi ya kizambarau

Kiumiida kilikuwa lugha ya Kiworrorran nchini Australia iliyozungumzwa na Waumiida katika jimbo la Australia Magharibi. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kiumiida ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiumiida kiko katika kundi la Kiworrorran cha Magharibi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiumiida kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.