Kitalinga-Bwisi (lugha)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kitalinga-Bwisi)

Kitalinga-Bwisi (pia Lubwisi) ni lugha ya Kibantu nchini Uganda inayozungumzwa na Wabwisi. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kitalinga-Bwisi nchini Uganda imehesabiwa kuwa watu 68,500. Pia kuna wasemaji kama 30,000 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kitalinga-Bwisi iko katika kundi la J20.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kitalinga-Bwisi (lugha) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.