Kisiwa cha Kijani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa cha Kijani (kwa Kiingereza: Green Island) ni kisiwa cha kaunti ya Busia, magharibi mwa Kenya.

Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]