Kisiwa Vancouver
Jump to navigation
Jump to search

Ramani ya kisiwa.
Kisiwa Vancouver (kwa Kiingereza: Vancouver Island) kiko katika bahari ya Pasifiki, karibu sana na pwani ya Kanada. Ni sehemu ya British Columbia. Urefu unafikia km 460 na upana km 100,[2]. Eneo lake lote ni km2 32134.
Kilele cha juu ni mlima Golden Hinde wenye kimo cha m 2,195 juu ya usawa wa bahari[3].
Mwaka 2016 wakazi walikuwa 775,347.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ The Atlas of Canada – Sea Islands. Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-01-28. Iliwekwa mnamo 2010-09-16.
- ↑ Regional Geography - Vancouver Island, BC - Destination BC - Official Site. Iliwekwa mnamo 8 January 2018.
- ↑ BC Parks – Strathcona Provincial Park, Central Vancouver Island, British Columbia. Iliwekwa mnamo 2010-09-16.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Cheadle, Chris (2008). Portrait of Vancouver Island. Heritage House Pub. ISBN 978-1-894974-47-9. Retrieved on 2013-06-27.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Kisiwa Vancouver travel guide kutoka Wikisafiri
- Birds of Vancouver Island
- Great Seal of the crown colony of Vancouver Island
- Measuring crustal motions in coastal British Columbia with continuous GPS
- BC Ministry of Transportation – Report on Fixed Link
- Qualicum Beach Airport on COPA's Places to Fly airport directory
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kisiwa Vancouver kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |