Kishi (lugha)
Mandhari
Kishi (au Mashi) ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Washi (au Bashi). Mwaka wa 2024 idadi ya wasemaji wa Kishi imehesabiwa kuwa watu milioni 10 hivi. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kishi iko katika kundi la J50.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- lugha ya Kishi kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kishi
- lugha ya Kishi katika Glottolog
- lugha ya Kishi kwenye Ethnologue
| Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kishi (lugha) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |