Kiseroa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiseroa ilikuwa lugha ya Khoisan nchini Afrika Kusini iliyozungumzwa na Waseroa. Siku hizi hakuna wasemaji wa Kiseroa tena, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiseroa kiko katika kundi la Kituu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiseroa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.