Kiroglai-Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiroglai ya Kaskazini ni lugha ya Kiaustronesia nchini Vietnam inayozungumzwa na Waroglai. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kiroglai ya Kaskazini imehesabiwa kuwa watu 52,900. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiroglai ya Kaskazini iko katika kundi la Kichamiki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiroglai-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.