Kipyu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kipyu ni lugha nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wapyu. Isichanganywe na lugha ya Kipiu ambayo ni lugha ya Kiaustronesia. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kipyu imehesabiwa kuwa watu 100. Kwa vile Wapyu wengi wameanza kuacha lugha yao, Kipyu iko hatarini mwa kutoweka kabisa hivi karibuni. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipyu iko peke yake, yaani hailingani wala kuhusiana na lugha wala kundi la lugha nyingine yoyote.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kipyu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.