Kipogolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kipogoro)

Kipogoro (au Kipogolo) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wapogoro wa mkoa wa Morogoro.

Mwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kipogolo ilihesabiwa kuwa watu 185,000.

Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kipogolo kiko katika kundi la G50, kikifanana na Kimbunga na Kindamba kwa asilimia 57-56%.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Hendle, P. J. 1907. Die Sprache der Wapogoro (Deutsch-Ostafrika) nebst einem deutsch-chipogoro und chipogoro-deutschen Wörterbuch. (Archiv für das Studium der deutschen Kolonialsprachen, Bd 6.) Berlin: Druck und Kommissionsverlag von G Reimer. Kurasa vii, 171.

Pia kuna kitabu hiki:

  • Green, M. (2003). Priests, Witches and Power: Popular Christianity after Mission in Southern Tanzania. Cambridge: Cambridge University Press.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kipogolo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.