Kiphula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiphula ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Vietnam na Uchina inayozungumzwa na Waphula. Mwaka wa 2008 idadi ya wasemaji wa Kiphula nchini Vietnam imehesabiwa kuwa watu 5000.Pia kuna wasemaji 5000 nchini Uchina (2011). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiphula iko katika kundi la Kingwi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiphula kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.