Kiolesura cha mtumiaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kiolesura cha mtumiaji kwenye programu Linux.

Katika utarakilishi, kiolesura cha mtumiaji (kwa Kiingereza: user interface) ni nafasi ambapo mtumiaji anaweza kuingilia tarakilishi yake.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).