King'amuzi
Jump to navigation
Jump to search
King'amuzi ni kifaa cha kielektroniki ambacho huwezesha mawasiliano kati ya runinga na satelaiti ili kuwezesha watu kuangalia chaneli mbalimbali ambazo zinaweza kuwa za bure au za kulipia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |