Kinaaba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kinaaba ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Nepal inayozungumzwa na Wanaaba. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kinaaba imehesabiwa kuwa watu 770. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kinaaba iko katika kundi la Kibodish.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinaaba kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.