Kimiwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la lugha za Kiworrorran barani mwa Australia, rangi ya kizambarau

Kimiwa kilikuwa lugha ya Kiworrorran nchini Australia iliyozungumzwa na Wamiwa katika jimbo la Australia Magharibi. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kimiwa ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimiwa kiko katika kundi la Kiwunambal.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimiwa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.