Kilusengo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kilusengo ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Walusengo. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kilusengo imehesabiwa kuwa watu 42,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kilusengo iko katika kundi la C40.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kilusengo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.