Kikayan cha Mendalam

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kikayan ya Mendalam ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wakayan kwenye kisiwa cha Kalimantan. Mwaka wa 1981 idadi ya wasemaji wa Kikayan ya Mendalam imehesabiwa kuwa watu 1500. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikayan ya Mendalam iko katika kundi la Kiborneo-Kaskazini.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikayan cha Mendalam kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.