Kijichi
Kata ya Kijichi | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Dar es Salaam |
Wilaya | Temeke |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 69,195 |
Kijichi ni jina la kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 15129[1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 69,195 waishio humo. [2]
Huko kuna shughuli za kilimo kama vile cha mchicha na hata kazi nyingine ndogondogo. Pia ni sehemu ambayo biashara nyingi hufanyika na maendeleo ya wakazi wa eneo hili si mabaya.
Kuna shule nyingi za serikali na za watu binafsi; za serikali za msingi ni shule za Kijichi, Bwawani, Mbagalaku; za watu binafsi za msingi ni Holy Cross Kamo, Praise Montfort na nyingine nyingi.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf[dead link]
- ↑ Ripoti Kuu ya Sensa ya Watu na Makazi kwa Mwaka wa 2012 (en). Serikali ya Tanzania. Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-05-11. Iliwekwa mnamo 15-12-2013.
![]() |
Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Azimio | Buza | Chamazi | Chango'mbe | Charambe | Keko | Kibondemaji | Kiburugwa | Kijichi | Kilakala | Kilungule | Kurasini | Makangarawe | Mbagala | Mbagala Kuu | Mianzini | Miburani | Mtoni | Sandali | Tandika | Temeke | Toangoma | Yombo Vituka |
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kijichi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |