Kijeri-Kuo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kijeri-Kuo ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Cote d'Ivoire inayozungumzwa na Wajeri-Kuo. Mwaka wa 1990 idadi ya wasemaji wa Kijeri-Kuo imehesabiwa kuwa watu 1500. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kijeri-Kuo iko katika kundi la Kimande.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kijeri-Kuo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.