Kiiyo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiiyo ni lugha ya Kivuka-Guinea Mpya nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Waiyo. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kiiyo imehesabiwa kuwa watu 6900. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiiyo iko katika kundi la Kifinisterre.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiiyo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.