Kigurung-Mashariki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kigurung ya Mashariki ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Nepal inayozungumzwa na Wagurung. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kigurung ya Mashariki imehesabiwa kuwa watu 227,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kigurung ya Mashariki iko katika kundi la Kibodish.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigurung-Mashariki kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.