Kifungo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vizuizi wakati wa kifungo ili kupunguza maambukizi ya Korona nchini Uhindi.

Kifungo (kutoka kitenzi "kufunga"; kwa Kiingereza: lockdown) ni itifaki ya kisheria inayohusu kuzuia watu wasitoke eneo la gereza.

Inaweza kutumika pia kuhusu taarifa.

Maambukizi ya Korona[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 2020 wakati wa maambukizi ya Virusi vya Corona (Covid-19) nchi nyingi zilitumia kifungo ili kupunguza maambukizi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kwanza, T. (2001). Kamusi Ya Kiswahili-Kiingereza. Taasisi Ya Uchunguzi Wa Kiswahili Chuo Kikuu.
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kifungo kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.