Kiede-Nago
Jump to navigation
Jump to search
Kiede-Nago ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Benin inayozungumzwa na Waede. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kiede-Nago imehesabiwa kuwa watu 200,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiede-Nago iko katika kundi la Kiyoruboidi.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- lugha ya Kinago kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kinago
- lugha ya Kinago katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/nqg
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiede-Nago kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |