Kidusun-Malang
Jump to navigation
Jump to search
Kidusun-Malang ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wadusun na Wabayan kwenye kisiwa cha Kalimantan. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kidusun-Malang imehesabiwa kuwa watu 4500, yaani Wadusun 2500 na Wabayan 2000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kidusun-Malang iko katika kundi la Kibarito.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- lugha ya Kidusun-Malang kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kidusun-Malang
- lugha ya Kidusun-Malang katika Glottolog
- lugha ya Kidusun-Malang kwenye Ethnologue
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kidusun-Malang kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |