Kidagoman

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kidagoman ilikuwa lugha ya Kigunwinyguan nchini Australia iliyozungumzwa na Wadagoman katika jimbo la Northern Territory. Hakuna Wadagoman waliobaki kuzungumza lugha ya Kidagoman, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kidagoman kiko katika kundi la Kiyangwaniki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kidagoman kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.