Kibanda cha mtandao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kibanda cha mtandao nchini Mali.

Kibanda cha mtandao (kwa kiingereza: internet café) ni pahali ambapo watu wanaweza kutumia mtandao kwa kulipa huduma hiyo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.