Kiau

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiau ni lugha ya Kitorricelli nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Waau. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kiau imehesabiwa kuwa watu 8000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiau iko katika kundi la Kiwapei.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiau kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.