Kiap-Ma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiap-Ma ni lugha ya Kiramu na Kisepik ya Chini nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Waap-Ma. Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kiap-Ma imehesabiwa kuwa watu 10,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiap-Ma iko katika kundi la Kikambot. Wengine huiangalia kuwa lugha pekee, na siyo lugha ya familia ya Kiramu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiap-Ma kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.